Tiba Asili ya Kisukari na Magonjwa Mwambatano
Tiba asili ya kisukari na magonjwa mwambatano ipo lakini dunia nzima imeaminishwa kuwa kisukari ni ugonjwa usiotibika. Wagonjwa wa kisukari wamekuwa wakipewa dawa za kutumia kipindi chote cha maisha yao. Hakika ni maisha yenye mateso sana kumeza dawa kila siku ili ubakie kuwa hai.
Ilinichukua miaka mitatu kupambana na tatizo la kisukari ambalo lilijitokeza ghafla. Mwanzoni nilipewa dawa ambazo nilipaswa kumeza kidonge kimoja kila siku asubuhi baada ya kula. Hata hivyo mwaka mmoja baadaye niliambiwa niwe nameza viwili yaani asubuhi na jioni. Sababu kile kidonge kimoja hakikunisaidia kabisa. Nikiwa bado sijajua hatma yangu, shinikizo la damu likapanda na likawa linanisumbua sana. Nikaambiwa haya ni matokeo ya kuwa na kisukari. Nilipoteza matumaini ya kuishi maisha ya furaha kwani nilikuwa sina furaha kabisa linapokuja suala la kula.
Nikiwa likizo kijijini kwetu kuwasalimia ndugu na jamaa, nilimweleza baba yangu mdogo tatizo lililokuwa linanisibu. Akashangaa na kuuliza kwa nini sikumwambia mapema. Aliniambia anaifahamu dawa ambayo itaniponya kisukari. Moyo wangu ulikuwa na mashaka kwa sababu niliamini kisukari hakiponi.
Hata hivyo nilikubali kutumia dawa yake, ilinichukuwa mwezi mmoja tu kukitokomeza kisukari na presha mwilini mwangu. Kama umesumbuka sana na ugonjwa wa kisukari kwa sasa lipo suluhisho la kudumu.
Yaliyomo
➡ Dibaji … 3
➡ Shukrani … 4
➡ Maelezo Muhimu … 5
➡ Sura ya 1: Mimea Tiba … 6
➡ Sura ya 2: Kinga ni Bora Kuliko Tiba … 8
➡ Sura ya 3: Magonjwa Sugu Mwambatano … 12
➡ Sura ya 4: Ugonjwa wa Kisukari … 15
➡ Sura ya 5: Tiba ya Ugonjwa wa Kisukari … 22
➡ Sura ya 6: Mmea wa Ajabu … 32
Onyo
Haki Zote Zimehifadhiwa. Huruhusiwi kutoa nakala ya kitabu hiki au sehemu ya kitabu hiki kwa sababu yoyote ile bila ruhusa ya mmliki wa kitabu kwa maandishi. Juhudi na gharama zimetumika kuandaa kitabu hiki kwa usahihi na umakini mkubwa sana kwa lengo la kutoa elimu na ujumbe ulio bora zaidi.
Ikithibitika kwa namna moja au nyingine umehusika kudurufu nakala au kusambaza katika mitandao ya kijamii na mingineyo nakala ya kitabu hiki utakuwa umetenda uharifu chini ya sheria ya makosa ya mtandao. Adhabu ya kifungu au faini au vyote kwa pamoja vinaweza kutolewa dhidi yako. Epuka wizi, kuwa mzalendo kwa kununua kazi za wasanii wetu. Wizi haukubaliki kiimani na hata kijamii.
Hata hivyo, taarifa, ujumbe au mafunzo yanayopatikana katika kitabu hiki hayana uhusiano wowote na matokeo ya msomaji. Mwandishi, mchapishaji au msambazaji hatawajibika kwa tatizo lolote litakalojitokeza kutokana na usomaji wa kitabu hiki.
J******h –
Asante sana
U*****h –
Nimekipata
W*****a –
Ubarikiwe kwa dawa
J****e –
Asante kwa tiba